header

nmb

nmb

Sunday, June 10, 2012

Waziri Kagasheki apokelewa kwa shangwe mjini bukoba.


Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mama Cositancia Buhiye akimkaribisha Mh. Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Hamis Sued Kagasheki
 Meya wa manispaa Mh. Anathory Amani akimkalibisha Mh. Waziri
 Sheikh wa Wilaya ya Bukoba Sheikh Haruna kichwabuta akimsakimia Mh. Waziri Balozi Kagasheki
 mapokezi nje ya uwanja wa ndege

No comments:

Post a Comment