header

nmb

nmb

Friday, May 25, 2012


MNYIKA ASHINDA KESI YA UBUNGE MAHAKAMA KUU LEO


Mbunge wa Ubungo kwa tiketi ya Chadema, John Mnyika akiwa na aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi Mkuu 2010,Hawa Nghumbi, wakati wakisubiri hukumu, katika Mashakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuhusu kesi  ya kupiga matokeo yaliyompa ushindi Mnyika iliyofunguliwa na Nghumbi kwenye mahakama hiyo.

No comments:

Post a Comment