header

nmb

nmb

Friday, September 9, 2011

JAMANI WAKANDARASI MPENI USHIRIKIANO KIONGOZI HUYU SHUPAVU!

Mh. John P. Maghufuli Waziri wa Ujenzi.
Mh. J. Maghufuli akifunga kongamano la kuadhimisha miaka 50 ya uhuru, kwa kuwaomba wakandarasi wafanye kazi kulingana na tataratibu, maadili na sheria za Ukandarasi.
Watanzania tumpe ushirikiano Mh. J. Maghufuli ili afanye kazi yake kwa ufasaha ili wote tuweze kufaidi na utendaji wake. Napenda kuwaomba Viongozi wa Jiji la Dar es salaam jitahidini kumpa ushirikiano ili wakazi wa Jiji waweze kuepukana na huu msongamano wa magari barabarani.
KAPINGAZ Blog inampongeza sana kwa jitihada zake za kutuletea maendeleo Watanzania.

No comments:

Post a Comment