header

nmb

nmb

Friday, September 9, 2011

HII NDIO HALI HALISI YA SHULE ZETU, TUTAFIKA KWELI!!!

Mwanafunzi akiingia Darasani katika moja ya Shule zetu.
Wanafunzi wakiwa Darasani wakimsikiliza Mwalimu.
Mwalimu akitoa Elimu kwa Wanafunzi wake.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Nchini Rwanda.
Hii ndio hali halisi ya shule zetu nyingi vijijini na hata pia zile zilizo pepezoni mwa majiji yetu.
KWELI TUTAFIKAAA!!
Ona mwanafunzi wa Rwanda picha ya Mwisho haangaiki ni jinsi gani atakaa kwenye siti akifika Shule; yeye anachoangalia ni jinsi gani anaweza kuitumia Computer katika kuboresha elimu yake anayoipata Darasani.
Aibu kubwa kwa Taifa letu, Taifa la Rwanda limetoka kwenye Vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini kwa leo nchi ya Rwanda inasonga mbele katika sekta ya Elimu.
KAPINGAZ Blog inawaomba wahusika walitazame hili kwa mtazamo chanya.
"HAYA MAJIMBO ZILIKO SHULE HIZI KUNA WABUNGE KWELI"

No comments:

Post a Comment