header

nmb

nmb

Monday, September 12, 2011

ENGINEER WILLIAM FOFO MTAALAM ALIEBOBEA KATIKA UTENGENEZAJI WA COMPUTER.

Engineer William Fofo

Fofo ni mtaalam aliye bobea katika utaalam wa kutengeneza Computer, Printers na pia kufanya Networking yoyote inayohusiana na teknolojia ya mawasiliano iwe Security System, Computer Networking, wireless na Cabling.
Kwa yeyote ambaye atahitaji kumpata anaweza akawasiliana na;
KAPINGAZ TECHNOLOGIES LTD au unaweza kumpigia simu kwa namba:
+255 655 113344
+255 713 254553
Vile vile kama una shida yoyote ya ushahuri wa kitaalam usisite kumpigia kwa namba hizo, atakushauri kulingana na tatizo lako bila gharama yoyote

No comments:

Post a Comment