Mkuu wa Idara ya Usimamizi wa Mahusiano ya Wateja(Executive Customer Relationship Management)wa Vodacom Tanzania Aika Makindara Matiku akiongea na waandishi wa habari wakati wa kukabidhiawa rasmi magari 100 kwa ajili ya wateja wa Vodacom kujishindia katika Promosheni ya "SHINDA MKOKO"(kulia) Mwenyekiti wa Kampuni ya magari ya Hyundai East Africa Ltd, Gulam Hussein Karmali. By.Full Shangwe.
No comments:
Post a Comment