header

nmb

nmb

Saturday, August 7, 2010

88 DODOMA INAVYO FANA KABLA YA KILELE KEHO!!

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi Ruth Mollel akiangalia na kupata Maelezo toka kwa Mjasiriamali wa Mtandao wa Mazingira Dodoma Unaofadhiliwa na [NEMC} Bw Amandus Chitopela kuhusu aina ya Mvinyo utokanao na Mauwa ya Choya wakati wa Maonyesho ya Nane nane yanayoendelea Mkowani Dodooa leo (picha na Ali Meja)

No comments:

Post a Comment