header

nmb

nmb

Saturday, August 7, 2010

Nimetoka kushuhudia Sherehe za uchomaji moto Siraha na Mkuu wa mkoa wa Mwanza Abasi Kandoro aaa Nilimmisi sana tu tangu aondoke jijini

Huwezi amini zigo la Bunduki lina teketea ni zaidi ya elfu 3 zilikikuwa mikononi wasio husika kuwa nazo na baadhi zimesha uwa sana tu
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Abasi Kandoro aki akishangaa jinsi watu walivyo weza kumiliki bunduki kinyume chao


Hapa Mzee wa PR nilipata nafasi ya kusalimiana naye tuka kumbushana ya bomgo Tuka cheeeeeee ka. Hii si kazi iliyo nileta isipo kuwa Mzee wa PR hakosi Udaku na udakuziiii

No comments:

Post a Comment