kibao kinawaonesha ukaribu wa kuwakaribisha watu wanaotoka upande wa pili wa Nchi ya Malawi na kuwataadharisha madereva kutumia mwendo wa kilomita 80,kama inavyoonekana pichani.
Kaimu Ofisa Bonde la Ziwa Nyasa,Bw.Nkondola (kulia) akiwa na Msaidizi wake Bw.Mohamed Swaleh wakiangalia ujazo wa maji ndani ya Ziwa Nyasa eneo la Itungi Port.
No comments:
Post a Comment