
Afisa habari wa ZAIN Tanzania Bw. Muganyizi Mutta  kulia akimkabidhi zawadi mdau wa Pr Habari  Anko Pati kwa niaba ya Bw. Peter Mwenda   
 Wadau wa Pr Habari wakifurahia zawadi kutoka Zain baada ya kuzawadiwa na Bw. Muganyizi Mutta nje ya jengo la Zain Tanzania ktk ofisi zao zinazosemekana kuwa kubwa zaidi Afrika ya Mashariki
 Wadau wa Pr Habari wakifurahia zawadi kutoka Zain baada ya kuzawadiwa na Bw. Muganyizi Mutta nje ya jengo la Zain Tanzania ktk ofisi zao zinazosemekana kuwa kubwa zaidi Afrika ya Mashariki Mtangazaji wa Redio Times Bw. Amir Massare akipokea zawadi ya Blackberry kutoka kwa Afisa habari wa Zain Bw. Mugamuzi Mutta.
Mtangazaji wa Redio Times Bw. Amir Massare akipokea zawadi ya Blackberry kutoka kwa Afisa habari wa Zain Bw. Mugamuzi Mutta. 
 
 
 
No comments:
Post a Comment