Msichana Kabula Nkalango (13) ambaye ni mlemavu wa ngozi mkazi wa Kijiji cha Luhaga Kata ya Igwamanoni Wilayani Kahama akiwa amelazwa wodi namba tatu ya Hospitali ya wilaya hiyo baada ya kufanyiwa unyama wa kukatwa mkono wake wa kulia juzi usiku wakiwa wamelala.
(Picha imepigwa na Patrick Mabula. Zaidi nunua gazeti la Majira la leo. Pia waweza kubofya chini utaikuta habari )
No comments:
Post a Comment