header

nmb

nmb

Wednesday, August 14, 2013

MSTAHIKI MEYA JERRY SILAA AKABIDHI MSAADA WA TAA ZA THEATER HOSPITALI YA AMANA


20130812_121204_resized
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana Dk.Meshack Shimwela alipowasili Hospitalini hapo kukabidhi msaada wa taa za chumba cha upasuaji kwenye Hospitalini hiyo.

20130812_122751_resized
Picha juu na chini Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa akikabidhi rasmi msaada wa taa hizo kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana Dk.Meshack Shimwela kwenye hafla fupi iliyofanyika hospitalini hapo.



No comments:

Post a Comment