header

nmb

nmb

Monday, August 19, 2013

Mpango wa Taifa wa Damu salama wavuka lengo

Ofisa Masoko na Uhusiano wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Bw. Rajab Mwenda akizungumza na waandishi wa habari jana kutoa takwimu za makusanyo ya damu kwa mwezi Aprili mpaka Juni mwaka huu ambapo ulivuka malengo kwa asilimia 111 kutoka chupa 36,278 mpaka 38,948. Kulia ni Ofisa Msaidizi wa Masoko na Uhusiano Bi. Rayah Hamad  (Picha na Mpiga picha maalum).
                                  

                                                   

No comments:

Post a Comment