header

nmb

nmb

Thursday, April 4, 2013

WAZIRI SAMIA SULUHU AENELEA NA ZIARA ZANZIBAR LEO

-Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Muungano Samia Suluhu Hassan akionyeshwa aina mbali mbali za Passpoti ambazo zinatumika hapa Nchini na Mkuu wa Kitengo cha Uzalishaji Passpoti na Ukaazi Haji Hamza Khamis wakati wa Ziara ya kutembelea Taasisi za Muungano zilizopo Zanzibar [Picha na Ali Meja]

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan  akionyeshwa Vibali vya Ukaazi Nchini na Mkuu wa Kitengo cha kuzalishia Passpot na Ukaazi Haji Hamza wakati wa Ziara ya kutembelea taasisi za Muungano ziliopo Zanzibar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Muungano Samia Suluhu Hassan akionyeshwa aina mbali mbali za Passpoti ambazo zinatumika hapa Nchini na Mkuu wa Kitengo cha Uzalishaji Passpoti na Ukaazi Haji Hamza Khamis wakati wa Ziara ya kutembelea Taasisi za Muungano zilizopo Zanzibar [Picha na Ali Meja]

No comments:

Post a Comment