HATIMAYE WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) RUIWA MBARALI MBEYA AMBAO MBEYA YETU ILI RIPOTI KUWA WANAITAJI MSAADA SASA WAANZA KUSAIDIWA
Katibu wa Chama cha Albino Mkoa wa Mbeya, William Simwali akimkabaidi mafuta ya kuzuia mwanga kwa mmoja ya wazazi wa watoto albino wa wilaya ya Mbarali bwana Usaje Mwambije makabidiano hayo yamefanyika katika ofisi ya Mbeya yetu jijini Mbeya
Katibu wa Chama cha Albino Mkoa wa Mbeya, William Simwali akielezea umhimu wa kuwajali albino katika jamii
Mzazi wa watoto albino akimshukuru katibu wa chama cha albino mkoa wa Mbeya kwa msaada wao kwa watoto wao walioko huko Mbarali
No comments:
Post a Comment