DR.MARY MWANJELWA MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA AMBAYE PIA NI M-NEC TAIFA ASHIRIKI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA KATIKA JIJI LA MBEYA NA WALIMBWENDE 30
Mbunge wa Viti maalumu Mkoa wa Mbeya kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk. Mary Mwanjelwa alipokuwa akiongoza shughuli za usafi wa Mazingira zilizofanywa na walimbwende 30 walioko kwenye kambi ya kumtafuta Mwanamitindo wa Nyanda za Juu kusini.
No comments:
Post a Comment