header

nmb

nmb

Friday, July 27, 2012


JOSE CHAMELEONE AANDAMANA HADI UBALOZI WA TANZANIA UGANDA KUDAI AREJESHEWE PASPOTI YAKE ILIYOZUILIWA NA ERICK SHIGONGO

 Mwanamuziki mashuhuri nchini Uganda, Jose Chameleone akiwa nje ya jengo la ubalozi wa Tanzania nchini Uganda, na mabango sambasamba na wapambe wake akishinikiza apatiwe hati yake ya kusafiria ambayo anadai inashikiliwa na Erick Shigongo. Picha zingine ni maandamano hayo.




No comments:

Post a Comment