Florence Majani na Suzzy Butondo wa gazeti la Mwananchi
MSANII nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba amefariki dunia kutokana na tatizo la mtikisiko wa ubongo linalojulikana kitalaamu kama Brain Concussion, taarifa za kitabibu zimeeleza.
Taarifa hizo za ndani, zilizopatikana jana baada ya jopo la madaktari bingwa watano wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kuufanyia uchunguzi mwili wa marehemu huyo, zimeeleza kuwa tatizo hilo linaweza kumfanya mtu apoteze maisha mara moja au baada ya siku kadhaa. Mmoja wa madaktari hao ambaye aliomba jina lake lisitajwe gazetini alisema waligundua tatizo hilo baada ya kumfanyia uchunguzi huo kwa zaidi ya saa mbili.
“Tulianza kuufanyia uchunguzi mwili wa marehemu kuanzia saa 4:00 asubuhi…
MSANII nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba amefariki dunia kutokana na tatizo la mtikisiko wa ubongo linalojulikana kitalaamu kama Brain Concussion, taarifa za kitabibu zimeeleza.
Taarifa hizo za ndani, zilizopatikana jana baada ya jopo la madaktari bingwa watano wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kuufanyia uchunguzi mwili wa marehemu huyo, zimeeleza kuwa tatizo hilo linaweza kumfanya mtu apoteze maisha mara moja au baada ya siku kadhaa. Mmoja wa madaktari hao ambaye aliomba jina lake lisitajwe gazetini alisema waligundua tatizo hilo baada ya kumfanyia uchunguzi huo kwa zaidi ya saa mbili.
“Tulianza kuufanyia uchunguzi mwili wa marehemu kuanzia saa 4:00 asubuhi…

UPDATES ZA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA VIWANJA VYA LEADERS LEO
Posted by GLOBAL on April 10, 2012 at 10:30am 0 Comments 0 Likes
Kwa sasa mwili wa marehemu umewasili katika Viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es Salaam, na ibada ya kumuaga inaendelea. Mwili wa marehemu umepokelewa Viwanja vya Leaders ukitanguliwa na mapokezi ya wazazi wake, viongozi mbalimbali wa serikali ambao juu yao kabisa alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Saa 4:49 asubuhi: Ratiba ya mwanzo imebadilika kidogo, kwa sasa baadhi ya viongozi wa serikali wanaaga mwili wa marehemu ili waweze kupata fursa ya kuendelea na…

RATIBA YA KUMUAGA MPENDWA WETU STEVEN CHARLES KANUMBA "THE GREAT" VIWANJA VYA LEADERS LEO
Posted by GLOBAL on April 9, 2012 at 3:00pm 3 Comments 0 Likes
STEVEN CHARLES KANUMBA KIMYA MILELE
Posted by GLOBAL on April 10, 2012 at 9:00am 0 Comments 1 Like
LULU: NAOMBA MNISAMEHE
Posted by GLOBAL on April 10, 2012 at 9:21am 0 Comments 1 Like
WEMA: SIJAWAHI KUACHANA NA KANUMBA
Posted by GLOBAL on April 10, 2012 at 9:28am 0 Comments 0 Likes
Na Shakoor Jongo
SIKU chache baada ya kifo cha muigizaji mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo, marehemu Steven Charles Kanumba, Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu amefunguka kuwa hakuwahi kuachana na muigizaji huyo.
Akizungumza kwa sauti iliyoambatana na kilio cha kwikwi katika mahojiano maalumu na kituo kimoja cha redio nchini, Wema alisema kuwa ingawa jamii ilikuwa ikifahamu kuwa ameachana naye, ukweli ni kwamba bado walikuwa wapenzi kwa siri.
“Tulikuwa na mapenzi ya siri kati yetu na tulifanya hivyo kwa kuwa kila…
SIKU chache baada ya kifo cha muigizaji mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo, marehemu Steven Charles Kanumba, Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu amefunguka kuwa hakuwahi kuachana na muigizaji huyo.
Akizungumza kwa sauti iliyoambatana na kilio cha kwikwi katika mahojiano maalumu na kituo kimoja cha redio nchini, Wema alisema kuwa ingawa jamii ilikuwa ikifahamu kuwa ameachana naye, ukweli ni kwamba bado walikuwa wapenzi kwa siri.
“Tulikuwa na mapenzi ya siri kati yetu na tulifanya hivyo kwa kuwa kila…

DUNIANI HADI KUZIMIKA GHAFLA
Posted by GLOBAL on April 10, 2012 at 9:34am 0 Comments 0 Likes

Na Elvan Stambuli
MWIGIZAJI nguli Tanzania, Steven Kanumba amefariki dunia au kuzimika ghafla nyumbani kwake maeneo ya Vatican Sinza, jijini Dar es Salaam usiku wa Jumamosi. Hii hapa ni historia yake kwa ufupi.
HISTORIA YAKE:
Steven Charles Kanumbaa alizaliwa Januari 8, mwaka 1984 mkoani Shinyanga kabla ya umauti kumfiia Aprili 7, mwaka huu. Ni mtoto wa tatu katika familia yako akiwa na dada zake wawili.
Elimu ya msingi alipata katika Shule ya Bugoyi na baadaye akajiunga na Sekondari ya Mwadui, kabla ya kuhamia Dar Christian Seminary.
Baada ya kumaliza kidato cha nne Dar Christian Seminary, Kanumba alijiunga na Sekondari ya Jitegemee, Dar es Salaam kwa elimu ya kidato cha tano na Sita.










No comments:
Post a Comment