header

nmb

nmb

Thursday, February 9, 2012

Ndugu wakimuhamisha mgojwa wao leo Muhumbili.Sasa kwa baki kweupeeeeee





Ndugu na Jamaa wakiwa kwenye harakati za kumwamisha Mgonjwa wao kutoka hospitali ya Taifa ya muhimbili kufwatia mgomo Mkubwa wa Madaktari


Chumba Cha Wagonjwa kikiwa kitupu


Muonekano wa Wodi Mbalimbali


Chumba cha Wagonjwa kikiwa kitupu


Vitanda vitupu vikiwa Havina wagonjwa kwenye hospitali ya taifa ya muhimbili Kufwatia Mgomo wa Madaktari unaoendelea nchini hivi sasa


Viti vya kubebea Wagonjwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili vikiwa vitupu kabisa


Koridoro za hospitali ya Taifa ya Muhimbili Zikiwa Tupu Leo hii kufwatia Mgomo wa Madaktari Nchini


Sehemu ya Mapokezi ya Hospitali ya taifa ya muhimbili ikiwa tupu

No comments:

Post a Comment