header

nmb

nmb

Thursday, February 9, 2012

Mgomo huu jamani Mwanza nako mambo yako hivi tangu tar 7


Tangazo linasema:-Kuanzia leo tarehe 7/2/2012 siku ya jumanne saa sita mchana tunataarifu kuwa tunasitisha huduma zote zikiwemo zile za dharula hadi hapo serikali itakapotimiza madai yote yanayosimamiwa na kamati kuu ya madaktari Tanzania. Imetolewa na jumuiya ya Madaktari bugando (Residents, Registrers,Interns)

Julius Lutabi baba wa mtoto Edna aliyegongwa na gari toka jumamosi iliyopita, yuko hapa tangu asubuhi jibu limetoka akipigwa tarehe mpaka.... ameiomba serikali kusitisha mijadala mingine na kuigeukia wizara ya afya.
Mwendo ni kupigwa karenda tuu wengi wamekosa huduma...

No comments:

Post a Comment