header

nmb

nmb

Wednesday, January 11, 2012

SIMON GROUP MHUUUUU MRADI WA UDA !!






Dr. Didas Masaburi Meya wa Jiji la Dar es salaam


Mr Simon mmiliki wa Simon Group

Sakata lililodumu miezi kadhaa iliyopita kutoka mwaka jana, leo limeingia katika sura mpya baada ya Madiwani wa Jiji la Dar es salaam wakiongozwa na Meya wa Jiji Mh. Dr Masaburi kustopisha mkataba huo wa kuipa nguvu kampuni ya Simon Group katika kuiendesha biashara ya Shirika la UDA

No comments:

Post a Comment