header

nmb

nmb

Monday, January 16, 2012

KADA WA CCM ALIYEMWAGIWA TINDIKALI IGUNGA AREJEA NCHINI KUTOKA INDIA BAADA YA MATIBABU NA ALONGA NA WANA HABARI




MKAZI wa Igunga, Kada wa CCM, Mussa Tesha aliyekuwa nchini India kwa matibabu baada ya kumwagiwa tindikali usoni na watu wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADAEMA), wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo jimboni humo (Igunga) mwaka jana, akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam, baada ya kurejea nchini. Kulia ni Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba ambaye alikuwa Meneja wa Kampeni za CCM jimboni humo.

No comments:

Post a Comment