header

nmb

nmb

Monday, August 23, 2010

WADAU WA PR BAADA YA KUMALIZA UZINDUZI WA KINYWAJI CHA NANASI BISMARK ROCKS JIJINI MWANZA SASA NI KUJIACHIA JIJINI ARUSHA KAMAHIVI!!

Kaka Alex Samamba (kushoto) wa KONYAGI Akigonganisha grasi na Mwakilishi wa wauzaji wa jumla kanda ya Kaskazini Bi Bahati Godwin
Bi Bahati akijiandaa kuukata utepe kwa ajili ya uzinduzi (kulia) ni Meneja Masoko wa TDL KONYAGI Bw. Joseph Chibehe akifuatilia tukio holo kwa makini naye mwaigo kushoto



DJ JOE akiwa katika mashine 1.2 kuwarusha wadau wa Konyagi kwa sana huku mwenyewe akilamba radha ya Nanasi
Mama Konyangi akipunga mikono wakati wa utambulisho. Ukifika Konyagi Bila ya huyu Mdada wewe hutafanikiwa kumuona mtu furani

Mambo ya menyu pia kwasana tu

Nanasi linapo kolea

Ulikuwa ni usiku wa Raha jijini Arusha

AAAAAAAAAA MZee wa Pr nami sikubaki nyuma Kushadadia vijimambo na kushangaa nanasi
Sii kwamba kalala lahasha ni utamu wa Bismark Rocks

No comments:

Post a Comment