
Kaka Alex Samamba (kushoto) wa KONYAGI Akigonganisha grasi na Mwakilishi wa wauzaji wa jumla kanda ya Kaskazini Bi Bahati Godwin

Bi Bahati akijiandaa kuukata utepe kwa ajili ya uzinduzi (kulia) ni Meneja Masoko wa TDL KONYAGI Bw. Joseph Chibehe akifuatilia tukio holo kwa makini naye mwaigo kushoto

DJ JOE akiwa katika mashine 1.2 kuwarusha wadau wa Konyagi kwa sana huku mwenyewe akilamba radha ya Nanasi

Mama Konyangi akipunga mikono wakati wa utambulisho. Ukifika Konyagi Bila ya huyu Mdada wewe hutafanikiwa kumuona mtu furani


Mambo ya menyu pia kwasana tu

Nanasi linapo kolea
No comments:
Post a Comment