header

nmb

nmb

Thursday, August 19, 2010

Ushindi wa Yanga Wekundu wa Msimbazi wasema KIama cha yanga bado kipo palepale!!

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFF Rodger Tenga akikabidhi ngao ya Hisani kwa mchezaji wa Yanga Freddy Mbuna mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam .Simba wadai pamoja na kuchukua ngao ya Hisani lakini yanga watakiona cha Moto msimu wa Ligi kuu.

No comments:

Post a Comment