header

nmb

nmb

Wednesday, August 25, 2010

Mwenyekiti wa WAMA mama Salma Kikwete aendeleza mapambano pwani!!

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama salma Kikwete leo (24.8.2010) akipokea maua wakati alipowasili katika Makao makuu ya ofisi ya Chama Kibaha mkoani Pwani katika ziara yake ya kuhamasisha wanachama wa UWT kuhusu uchaguzi Mkuu mwaka huu.


UWT Pwani wanapohamasika
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mama Salma Kikwete jana akiwanadi wagombea wa Ubunge na Madiwani wa chama cha Mapinduzi mkoani Pwani . RAMADHANI MANENO NJE

No comments:

Post a Comment