header

nmb

nmb

Thursday, May 13, 2010

SPIKA NA UJUMBE WA TANZANIA NDANI YA UTURUKI....!

Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta, akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Uturuki Mhe.. Abdullah Gul mara baada ya Spika na Ujumbe wa Wabunge wa Tanzania ambao wapo katika ziara ya nchini humo kumtembelea Ofisi kwake leo. kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Wilson Masilingi. Spika na Ujumbe wa Wabunge saba upo ziarani Uturuki kwa Mwaliko wa Spika wanchi hiyo.kwa lengo la kuhamasisha wawekezaji katika sekata mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuimarisha ushirikiano wa nchi hizi mbili. Picha na Owen Mwadumbya wa Bunge

No comments:

Post a Comment