header

nmb

nmb

Tuesday, April 27, 2010

BAKHESSA AUNGA MKONO SERIKALI KUPAMBANA NA MALARIA KWA KUGAWA VYANDARUA BURE KWA WAFANYAKAZI WOTE TZ!!


Meneja mkuu wa Kampuni ya Said Sefu Bahalesa Bw. Said Mohammad Said akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu hatua ya kapuni yake ya kuisaidia Serikali kupambana na malaria kwa kugawa Vyandalua kwa wafanyakazi wake wote nchi nzima.Mkutano huo ulifanyika DSM leo

Baadhi ya wafanyakazi wa Bakhessa Co.LTD wakichangamkia mgao huo

No comments:

Post a Comment