header

nmb

nmb

Sunday, March 28, 2010

UFUNGUZI WA BUNGE LA 122 LA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI MJINI BANGKOK!!

Spika wa Bunge, Mhe. Samuel Sitta akichangia katika mjadala kuhusu maswala ya kisiasa na kiuchumi Duniani wakati wa Mkutano wa 122 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) unaofanyika mjini Bangkok, Thailand, wikiendi hii.
Picha zote na mdau Owen Mwandumbya wa Bunge
Spika wa Bunge, Mhe. Samuel Sitta, akifuatilia kwa makini ufunguzi rasmi wa mkutano wa 122 wa umoja wa Mabunge Duniani (IPU) ulioanza rasmi jana mjini Bangkok, Thailand kwa kufunguliwa na Mtoto wa Mfalme wa nchi hiyo, Princess Maha Chakri Sirindhorn . Walioketi kusho ni balozi wa Tanzania nchini Malaysia anayesimamia pia Thailand, Mhe. Cisco Mtiro, Mhe, Dkt Christine Ishengoma, Mhe. Idris Mtulia na Mhe. Suzan Lyimo.

No comments:

Post a Comment