header

nmb

nmb

Friday, February 26, 2010

OLASTI MOTOCROSS CHAMPIONSHIP 2010 PART 1.

(Picha zote kwa hisani ya Imma Mbuguni wa Business Times Ltd)


Washiriki wa mashindano ya kuanza 250 race wakisubiri amri yakuanza mashindano



Bodaboda pia walipewa nafasi ya kuonyesha vitu vyao Mashindano ya kirafiki



Mshindi wa kwanza kwenye 250Race, Masoud Seif akimpita mmoja wa washiriki kwa staili ya aina yake




Mshindi wa kwanza bodaboda (shaaban Haji) akionyesha uwezo wa kucheza na Pikipiki ya Mchjina



Kitimtim kutoka Dar akifanya vitu vyake kwa mbwembweeesanatu



Bodaboda wakishindana hapa kilammoja akitafuta kumpita mwenzake



Kitimtim kutoka Dar akifanya vitu vyake

Mshindi wa tatu kwenye Open Race Andres Perez


Mmoja wa washindi wa Bodaboda Race Rashidi akichukua zawadi yake


Masoud Seif akipokea hati ya ushindi wa kwanza kwenye 250Race



Per Bjerre akipokea hati ya ushindi wa pili kwenye Open Race


Dylan Sanders akiangalia hati yake ya ushindi wa .kwanza kwenye Kids Race



Amani Wilbard akipokea hati ya ushindi wa tatu kwenye 250RVolvo na Tonny Montana wakijadili jambo muda mfupi baada ya kwisha kwa mashindano hayo ambayo kwakweri yalileta msisimko jijini Arusha

Sehemu ya Umati uliojitokeza kushuhudia mashindano hayo ya kimataifa. kwakweri walituwakirisha vyema wabongo


Ndugu wasomaji wetu wiki hii tunawaletea mashindano ya kimataifa ya pikipiki ya Asti Motocross Championship 2010 part one yaliyofanyika Arusha wikiendi iliyopita.

No comments:

Post a Comment