header

nmb

nmb

Friday, January 29, 2010

USHIRIKIANO UNAHITAJIKA KATI YA WAANDISHI NA POLISI

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Said Mwema, akibadilishana mawazo na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari, muda mfupi baada ya kufungua mkutano wa Jukwaa la Wahariri lililokuwa likijadili kuhusu ushirikiano wa jeshi hilo na vyombo hivyo Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment