header

nmb

nmb

Friday, January 29, 2010

POLENI MUNGU ATAWASAIDIA MPONE

Mmoja wa wazazi wa wanafunzi wa shule ya Sekondari Kibasila Dar es Salaam, Bi. Beatrice Moses, akiwajulia hali baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo katika Wodi no 202 ya hospitali ya Temeke ambao walianguka kwa mshtuko wa mabomu yaliyolipuliwa na polisi katika harakati za kuwatawanya kutoka barabarani walipokuwa wamekusanyika kupinga kugongwa kwa mwenzao

No comments:

Post a Comment