header

nmb

nmb

Thursday, February 7, 2013

WAZIRI MSATAAFU ATIMKA MBIO MAKABURINI >NI KATIKA MAZISHI YA MFANYAKAZI WA KITUO CHA RADIO IBON FM!!

 Radi na Mvua yenye upepo mkali ilizua taflani jana katika makaburi mkoani hapa na kusababisha baadhi ya waombolezaji kutimka mbio na ilikunusuru maisha yao.

Miongoni mwa watu walio timka mbio ni Waziri wa zamani Mzee Mungai ambaye alionekana kama kijana wakati wa kukimbia kiama hicho.Hayo yalitokea katika mazishi ya Aliyekuwa Dereva wa Kituo cha Ibon FM cha Mjini Iringa.Zaidi Tembelea FRANCIS GODWIN MZEE WA MATUKIO BLOG

HIVI MVUA ILIVYOANZA  KUCHUKUA KASI
WAZIRI WA ZAMANI MH>  MUNGAI AKITIMUA MBIO MALA BAADA YA MVUA KUNYESHA  
HAPA  WADAU WAKITIMUA MBIO KALI
WAOMBOLEZAJI WALIOKWENDA KUMZIKA ALIYEKUWA DEREVA WA RADIO EBONY FM MAJUTO CHONYA:(MEJA) WAKITIMUA  MBIO  BAADA YA MVUA  KUBWA KUANGUKA KABLA YA KUMALIZA SHUGHULI ZA MAZISHI  HAYO LEO KATIKA MAKABURI YA MTWIVILA MJINI IRINGA

No comments:

Post a Comment