header

nmb

nmb

Monday, February 11, 2013

SERIKALI YAFUNGUA GHALA LA KISASA LA KUHIFADHIA DAWA KATIKA MAKAO MAKUU YA BOHARI YA DAWA (MSD), DAR ES SALAAM


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Mwinyi 
(wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria upokeaji wa
 magari  maalumu ya kusafirishia chanjo kwa 
kuzingatia mnyororo badiri. Kushoto ni Mwakilishi 
Mkazi wa Shirika la kuhudumia watoto duniani 
(UNICEF), DK. Jama Gulaid, Balozi wa Marekani 
nchini Alfonso Lenhardt na Mbunge wa Temeke 
Abbas Mtemvu. Mbali na kupokea magari hayo 
kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete, Dk. Mwinyi 
alifungua Jengo la Kisasa la ghala la 
kuhifadhi 
dawa katika Makao Makuu ya Bohari ya dawa 
Dar es Salaam leo.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Mwinyi 
(wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria upokeaji 
wa magari  maalumu ya kusafirishia chanjo kwa
 kuzingatia mnyororo badiri. Kutoka kushoto 
ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), 
Cosmas Mwaifwani,  Mwakilishi Mkazi wa Shirika 
la kuhudumia watoto duniani (UNICEF), 
DK. Jama Gulaid, Balozi wa Marekani nchini 
Alfonso Lenhardt . Mbali na kupokea magari hayo 
kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete, Dk. Mwinyi 
alifungua Jengo la Kisasa la ghala la kuhifadhi 
dawa katika Makao Makuu ya Bohari ya dawa 
Dar es Salaam leo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), 
Cosmas Mwaifwani (kulia),akimuelekeza jambo 
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein 
Mwinyi (kushoto), juu ya ubora wa ghala  jipya la 
kisasa la kuhifadhia dawa, baada ya kulizindua 
katika Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD), 
Dar es Salaam. 
Wa pili kushoto ni Mbunge Viti maalunu Martha 
Mlata na Balozi wa Marekani nchini  
Alfonso Lenhardt. 
(Picha habari na www.mwaibale.blogspot.com)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein 
Mwinyi, 
akikata utepe kuashiria kupokea madawa na 
vifaa tiba vilivyotolewa na Madaktari wa Afrika 
kwa Serikali. Kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi 
Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas 
Mwaifwani, Mkurugenzi wa Tiba wa 
Madaktari Afrika, 
Dk.Dilan Ellegale na Balozi wa Marekani 
nchini Alfonso Lenhardt.

SERIKALI YAFUNGUA GHALA LA KISASA LA KUHIFADHIA DAWA KATIKA MAKAO MAKUU YA BOHARI YA DAWA (MSD), DAR ES SALAAM


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Mwinyi 
(wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria upokeaji wa
 magari  maalumu ya kusafirishia chanjo kwa 
kuzingatia mnyororo badiri. Kushoto ni Mwakilishi 
Mkazi wa Shirika la kuhudumia watoto duniani 
(UNICEF), DK. Jama Gulaid, Balozi wa Marekani 
nchini Alfonso Lenhardt na Mbunge wa Temeke 
Abbas Mtemvu. Mbali na kupokea magari hayo 
kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete, Dk. Mwinyi 
alifungua Jengo la Kisasa la ghala la 
kuhifadhi 
dawa katika Makao Makuu ya Bohari ya dawa 
Dar es Salaam leo.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Mwinyi 
(wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria upokeaji 
wa magari  maalumu ya kusafirishia chanjo kwa
 kuzingatia mnyororo badiri. Kutoka kushoto 
ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), 
Cosmas Mwaifwani,  Mwakilishi Mkazi wa Shirika 
la kuhudumia watoto duniani (UNICEF), 
DK. Jama Gulaid, Balozi wa Marekani nchini 
Alfonso Lenhardt . Mbali na kupokea magari hayo 
kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete, Dk. Mwinyi 
alifungua Jengo la Kisasa la ghala la kuhifadhi 
dawa katika Makao Makuu ya Bohari ya dawa 
Dar es Salaam leo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), 
Cosmas Mwaifwani (kulia),akimuelekeza jambo 
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein 
Mwinyi (kushoto), juu ya ubora wa ghala  jipya la 
kisasa la kuhifadhia dawa, baada ya kulizindua 
katika Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD), 
Dar es Salaam. 
Wa pili kushoto ni Mbunge Viti maalunu Martha 
Mlata na Balozi wa Marekani nchini  
Alfonso Lenhardt. 
(Picha habari na www.mwaibale.blogspot.com)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein 
Mwinyi, 
akikata utepe kuashiria kupokea madawa na 
vifaa tiba vilivyotolewa na Madaktari wa Afrika 
kwa Serikali. Kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi 
Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas 
Mwaifwani, Mkurugenzi wa Tiba wa 
Madaktari Afrika, 
Dk.Dilan Ellegale na Balozi wa Marekani 
nchini Alfonso Lenhardt.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Hussein Mwinyi 
(wa tatu kushoto waliokaa), akiwa katika picha ya 
pamoja na wafanyakazi wa Bohari ya madawa 
(waliosimama nyuma). Kutoka kushoto ni Kaimu 
Mganga Mkuu wa Serikali Donan Mmbando, Balozi 
wa Marekani nchini Alfonso Lenhardt, Kaimu 
Mkurugenzi  Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), 
Cosmas Mwaifwani, Mbunge wa Kigamboni 
Dk. Faustine Ndungululile, Mwakilishi Mkazi 
wa Shirika la kuhudumia watoto duniani 
(UNICEF), 
DK. Jama Gulaid na Mbunge wa Temeke, 
Abbas Mtemvu
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Hussein Mwinyi 
(wa tatu kushoto waliokaa), akiwa katika picha ya 
pamoja na wafanyakazi wa Bohari ya madawa 
(waliosimama nyuma). Kutoka kushoto ni Kaimu 
Mganga Mkuu wa Serikali Donan Mmbando, Balozi 
wa Marekani nchini Alfonso Lenhardt, Kaimu 
Mkurugenzi  Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), 
Cosmas Mwaifwani, Mbunge wa Kigamboni 
Dk. Faustine Ndungululile, Mwakilishi Mkazi 
wa Shirika la kuhudumia watoto duniani 
(UNICEF), 
DK. Jama Gulaid na Mbunge wa Temeke, 
Abbas Mtemvu

No comments:

Post a Comment