SERIKALI YAFUNGUA GHALA LA KISASA LA KUHIFADHIA DAWA KATIKA MAKAO MAKUU YA BOHARI YA DAWA (MSD), DAR ES SALAAM
 |
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Mwinyi
(wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria upokeaji wa
magari maalumu ya kusafirishia chanjo kwa
kuzingatia mnyororo badiri. Kushoto ni Mwakilishi
Mkazi wa Shirika la kuhudumia watoto duniani
(UNICEF), DK. Jama Gulaid, Balozi wa Marekani
nchini Alfonso Lenhardt na Mbunge wa Temeke
Abbas Mtemvu. Mbali na kupokea magari hayo
kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete, Dk. Mwinyi
alifungua Jengo la Kisasa la ghala la
kuhifadhi
dawa katika Makao Makuu ya Bohari ya dawa
Dar es Salaam leo. |
 |
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Mwinyi
(wa
pili kushoto), akikata utepe kuashiria upokeaji
wa magari maalumu ya
kusafirishia chanjo kwa
kuzingatia mnyororo badiri. Kutoka kushoto
ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),
Cosmas Mwaifwani,
Mwakilishi Mkazi wa Shirika
la kuhudumia watoto duniani (UNICEF),
DK.
Jama Gulaid, Balozi wa Marekani nchini
Alfonso Lenhardt . Mbali na kupokea magari hayo
kwa niaba ya Rais
Jakaya Kikwete, Dk. Mwinyi
alifungua Jengo la Kisasa la ghala la
kuhifadhi
dawa katika Makao Makuu ya Bohari ya dawa
Dar es Salaam leo. |
 |
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),
Cosmas Mwaifwani (kulia),akimuelekeza jambo
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein
Mwinyi (kushoto), juu ya ubora wa ghala jipya la
kisasa la kuhifadhia dawa, baada ya kulizindua
katika Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD),
Dar es Salaam.
Wa pili kushoto ni Mbunge Viti maalunu Martha
Mlata na Balozi wa Marekani nchini
Alfonso Lenhardt.
(Picha habari na www.mwaibale.blogspot.com) |
 |
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein
Mwinyi,
akikata utepe kuashiria kupokea madawa na
vifaa tiba vilivyotolewa na Madaktari wa Afrika
kwa Serikali. Kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi
Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas
Mwaifwani, Mkurugenzi wa Tiba wa
Madaktari Afrika,
Dk.Dilan Ellegale na Balozi wa Marekani
nchini Alfonso Lenhardt. |
 |
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Hussein Mwinyi
(wa tatu kushoto waliokaa), akiwa katika picha ya
pamoja na wafanyakazi wa Bohari ya madawa
(waliosimama nyuma). Kutoka kushoto ni Kaimu
Mganga Mkuu wa Serikali Donan Mmbando, Balozi
wa Marekani nchini Alfonso Lenhardt, Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),
Cosmas Mwaifwani, Mbunge wa Kigamboni
Dk. Faustine Ndungululile, Mwakilishi Mkazi
wa Shirika la kuhudumia watoto duniani
(UNICEF),
DK.
Jama Gulaid na Mbunge wa Temeke,
Abbas Mtemvu |
 |
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Hussein Mwinyi
(wa tatu kushoto waliokaa), akiwa katika picha ya
pamoja na wafanyakazi wa Bohari ya madawa
(waliosimama nyuma). Kutoka kushoto ni Kaimu
Mganga Mkuu wa Serikali Donan Mmbando, Balozi
wa Marekani nchini Alfonso Lenhardt, Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),
Cosmas Mwaifwani, Mbunge wa Kigamboni
Dk. Faustine Ndungululile, Mwakilishi Mkazi
wa Shirika la kuhudumia watoto duniani
(UNICEF),
DK.
Jama Gulaid na Mbunge wa Temeke,
Abbas Mtemvu |
No comments:
Post a Comment