header

nmb

nmb

Monday, February 11, 2013

NIGERIA ATWAA UBINGWA AFCON 2013.


Wachezaji wa timu ya Taifa ya Nigeria the Super Eagles wakishangilia na kombe lao la AFCON baada ya kuwaondoa wapinzani wao Bokinafaso kwa goli moja kweenye mechi ya fainali iliyochezwa muda mfupi uliopita nchini Afrika Kusini.
Wachezaji wa Nigeria wakishangilia mara baada ya kipenga cha mwisho kwenye mchezo wa Fainali ya AFCON nchini Afrika ya kusini iliyomalizika hivi punde, kushoto ni mshambuliaji wa Bokinafaso akiwa ameshika kiuno.
Gol

No comments:

Post a Comment