header

nmb

nmb

Saturday, June 25, 2011

TDL KAMA KAWAKUPITIA KINYWAJI CHA Dodoma Wine YAFANIKISHA MISS KANDA YA KATI USIKU WA KUAMKIA LEO!!

Washindi wa nne wote wameingia katika Miss Tanzania
Si lwamba kaanguka aaa no ni mambo ya kusaka ushindi katika shindano hilo. aliambulia nafasi ya Pili Miss Kanda ya kati

AAAAAAAAAAAAA kaka mkubwa Pr promotion naye aliitwa akapige picha na Miss kanda ya kati naye hakufanya makosa
Nikama wanafuata bit "eeeeeeee twende sasa"
Kujimwaga ukumbini mambo yalipo noga
Mzee yusuph akitoa Burudani.Picha zaidi Midamida

No comments:

Post a Comment