Raisi wa Zanzibar na kiongozi wa baraza la mapindunzi Dk. A. A. Karumewa pili kulia akiwa na Raisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania J. M. Kikwete wakipokea salamu za heshima kutoka vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama leo ktk maadhimisho ya miaka 46 ya mapinduzi ya Zanzibar huko Gombani Pemba.
No comments:
Post a Comment