header

nmb

nmb

Tuesday, January 12, 2010

Miaka 46 ya Mapinduzi Zanzibar yafana!

Raisi Amani Karume akikagua gwaride la vikosi vya ulinzi na usalama ktk kuhitimisha sherehe za miaka 46 ya mapinduzi ya Zanzibar leo Gombani Pemba.

Raisi wa Zanzibar na kiongozi wa baraza la mapindunzi Dk. A. A. Karumewa pili kulia akiwa na Raisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania J. M. Kikwete wakipokea salamu za heshima kutoka vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama leo ktk maadhimisho ya miaka 46 ya mapinduzi ya Zanzibar huko Gombani Pemba.

No comments:

Post a Comment