Jengo linalotumika kama duka la kuuza vinywaji vya TDL kwa watu wa jumla na rejareja "Konyagi Express Shop" lililopo mjini Arusha

Mwenyekiti wa bodi ya Tanzania Distilleries Ltd Mr. Kilewo akikata utepe kama ishara ya ufunguzi wa duka hilo. Anayeshuhudia katikati ni aliyekuwa meneja wa kampuni hio Mr. Suma
No comments:
Post a Comment