header

nmb

nmb

Tuesday, July 30, 2013

Rest in peace Christian Benitez




Mchezaji wa zamani wa timu ya Birmingham city Christian Benitez amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 27. Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ecuador aka "Chucho" mwezi uliopita tu alijiunga na klabu ya El Jaish kwa ada £10million
Chucho Benitez alichezea Birmingham City mara 36 wakati alipokuwa kwa mkopo mwaka 2009- 2010
wachezaji mbali mabali wa mpira wa miguu wamekuwa wakitowa salamu za rambi rambi kupitia mitandao ya kijami

No comments:

Post a Comment