header

nmb

nmb

Monday, April 1, 2013

watu 18 wahofia kufa kwa kufunikwa na Kifusi Mgodini wa Morrum jininiArusha

 Eneo la mgodi linavyoonekana

watu zaidi ya 18 wanahofia kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi katika mgodi wa Morrum, Mshono Arusha. zoezi la uokoaji unaendela na mpaka sasa ni huyo mtu mmoja ambae ameokolewa akiwa majeruhi. picha zaidi http://www.globalpublishers.info

No comments:

Post a Comment