LEO Jumapili, Wakristo wote Tanzania wanaungana wenzao duniani kote kuadhimisha Sikukuu ya Pasaka, ikiwa ni kufufuka kwa Yesu Kristo.
Siku ya leo ni muhimu kwa Wakristo wote, huku ikianzia tangu juzi Ijumaa Kuu, hivyo ni wakati wa waumini wote na wale wasiokuwa waumini wa dini hiyo kuadhimisha kwa Amani na upendo.
Mara kadhaa, wapo baadhi ya watu ambao hutumia siku za Sikukuu

No comments:
Post a Comment