KINGWENDU,RINGO,MTANGA,KITALE WATOKA NA SIMU YA KICHINA
Kitale Amesema kuwa filamu hiyo itakuwa gumzo jijini kwa kuwa imerekodiwa kwa ubora wa hali ya juu na kuwashirikisha wasanii waliokomaa kisanii nchini
aliwataja baadhi ya wasanii alioshilikiana nao ni pamoja na Ringo,Kitale mwenyewe,Kingwendu,Mtanga na wengine wengi walioshiriki katika filamu hiyo
aliongeza kwa kusema baadhi ya mafundisho yaliyopo katika filamu hiyo ni Ugumu wa maisha waweza kukupa changamoto ya maisha,ambayo yanaweza kukuletea maendeleo,vilevile ugumu wa maisha waweza sababisha tamaa ambayo yaweza kukupelekea kuwa mwizi katika maisha yako na kukusababishia maisha yako kuwa magumu
filamu hiyo kwa sasa ipo mtaani kwa ajili ya kuwapa wapenzi mbalimbali burudani wakiwa majumbani kwao 'Simu ya Kichina' ni moja ya filamu zenye mafundisho kwa jamii ya kitanzxania hivyo si yakukosa
Bonite Bottlers yawazawadia washindi wa promosheni ya Vuta Mkwanja
Washindi 16 wa promosheni ya Vuta mkwanja wakifurahi zawadi ya pesa taslimu waliyo kabidhiwa kiwandani hapo.
Meneja uzalishaji wa Bonite Bottlers Leonard Mangupili akimkabidhi mshindi Hamid Nkya mkazi wa Ngaramtoni Arusha ,kitita cha shilingi milioni moja alichojishindia kwenye promosheni ya Vuta Mkwanja
Mkuu wa masoko na mauzo wa Bonite Bottlers Christopher Loiruk
akimkabidhi mshindi Rahim Hashim mkazi wa Majengo Moshi, kitita cha
shilingi milioni moja alichojishindia kwenye promosheni ya Vuta Mkwanja.
Mratibu wa mauzo wa Bonite Bottlers Boniface Mwasi akimkabidhi mmoja wa washindi wa kitita cha shilingi laki moja kwenye promosheni ya Vuta Mkwanja.
Mkuu wa masoko na mauzo wa kiwanda cha vinywaji baridi Bonite Bottlers,Christopher Loiruk akizungumza na wanahabari.
*******
Mwandishi Wetu ,Moshi.
KAMPUNI ya vinywaji baridi jamii ya Coca Cola ,Bonite Bottlers jana imekabidhi zawadi ya fedha taslimu kwa washindi kumi na sita wa promosheni ya Vuta Mkwanja ambayo inafikia tamati mwezi huu.
Washindi katika promosheni hiyo iliyoanza mwezi Julai mwaka huu ni
pamoja na Fredy Charles ,Hamid Nkya wote wakazi wa Arusha na Rahim
Hashim mkazi wa Majengo mjini Moshi ambao kila mmoja amejinyakulia
kitita cha shilingi milioni moja.
Washindi wengine ni Goodluck Kessy ,Focus Njau ,Joseph Kauwedi,Samson Mushi na Fatuma Ibrahimu ambao walijishindia kaisi cha shilingi laki moja kila mmoja.
Washindi wengine ni Goodluck Kessy ,Focus Njau ,Joseph Kauwedi,Samson Mushi na Fatuma Ibrahimu ambao walijishindia kaisi cha shilingi laki moja kila mmoja.
Mkuu wa masoko na mauzo wa kiwanda hicho Christopher Loiruk aliwataja washindi wengine waliojishindia kiasi cha shilingi lakini moja kuwa ni Julius Michael,Christina Kessy,Dorin Masawe na Khadijah Said.
Aliwataja washindi wengine ambao wamepatikana katika mikoa ya Arusha, Kilimnjaro Singida na Manyara kuwa ni Lucas Sumari ,Magdalena John na Lilian Maro ambao wote walikabidhiwa fedha zao kiwandani hapo.
Akizungumza mara baada ya kukabidhi zawadi ,Loiruk alitoa wito kwa wateja wa Coca cola kuendelea kunywa kinywaji hicho na jamii yake ili waweze kuibuka washindi wa zawadi mbalimbali ambazo bado zipo katika kinywaji hicho.
“Shindano promosheni imemalizika ,lakini zawadi bado zitaendelea kutolewa kwa kuwa bado zipo katika mzunguko,kuna washindi ambao wamejishindia zawadi mbalimbali kwa kunywa soda za Coca cola ,Fanta na Sprite …kila soda unayokunywa una nafasi ya kuwa mshindi”alisema Loiruk.
Alisema promosheni hiyo imewezesha wateja wengi wa bidhaa hizo kujishindia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoaja na Sh 1000,000,sh 100,000,10,000,sh 5,000 ,sh 2,000 fulana za Coca cola pamoja na soda ya bure.
Chama Cha Wananchi(CUF)Chazindua Kampeni ya Uchaguzi wa Jimbo la Bububu
Makamu
Mwenyekiti wa CUF Machano Khamis, akimtambulisha Mgombea wa Chama
hicho Issa Khamis, kwa Wananchi wa Jimbo la Bububu katika Mkutano wa
Uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Skuli Bububu.
Mwakilishi
wa Mji Mkongwe Ismail Jussa akitowa sera za Chama chake kwa wananchi
waliofika katika uzinduzi wa kampeni katika viwanja vya skuli ya bububu
jana
Makamu
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Machana Khamis, akizinduwa Kampeni za
Uchaguzi wa Chama chake katika viwanja vya skuli ya bububu jana
Mgombea
wa Chama cha CUF Issa Khamis akijitambulisha kwa Wananchi wa Jimbo la
Bububu wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Uchaguzi Mdogo unaofanyika
kutokana na Kifo cha aliyekuwa Mwakilishi wa jimbo hilo Salim Amuor
Mtondoo
Waheshimiwa
wakiwa katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chama cha CUFya
Uchaguzi Mdogo wa jimbo hilo.uliozinduliwa na Makamu Mwenyekiti wa CUF
Taifa Machano Khamis.
Waheshimiwa
wakiwa katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chama cha CUFya
Uchaguzi Mdogo wa jimbo hilo.uliozinduliwa na Makamu Mwenyekiti wa CUF
Taifa Machano Khamis.
REDD'S MISS TEMEKE 2012 WAANZA KUJIFUA KUJIANDAA KUWANIA TAJI LA 2012
Mkufunzi
wa warembo katika shoo ya Redd's Miss Temeke, Dickson Daud, akiwanoa
warembo hao katika Club ya TCC Chang'ombe jana, tayari kwa shindano lao
litakalofanyika Septemba 21 mwaka huu.
Warembo
wa Redd's Miss Temeke, wakiwa mazoezini jana katika Club ya TCC
Chang'ombe , tayari kwa shindano lao litakalofanyika Septemba 21 mwaka
huu.
Warembo
wa Redd's Miss Temeke, wakiwa mazoezini jana katika Club ya TCC
Chang'ombe , tayari kwa shindano lao litakalofanyika Septemba 21 mwaka
huu.
****************************************
****************************************
JUMLA
ya Warembo 15, wa Redd's Miss Temeke, wameanza rasmi kambi yao juzi
katika Club ya TCC Chang'ombe tayari kwa kinyang'anyiro cha kanda hiyo,
kumrithi mrembo Husna Twalib anayeshikilia taji hilo la 2011.
Warembo hao ambao wameanza programu ya shoo kwa wiki hii, chini ya ukufunzi wa Dickson Daud kutoka kikundi cha THT, wanatoka katika vitongoji vya Kigamboni, Kurasini na Chang'ombe ambapo kila sehemu wametoka warembo watano ambapo washindi watatu wa kwanza watapata fursa ya moja kwa moja kushiriki Redds Miss Tanzania 2012.
Warembo hao ni Agness Goodluck, Angela Gasper, Flaviana Maeda,Edna Sylvester, Catherine Masumbigana, Khadija Kombo, Neema Doreen, Flora Kazungu, Lilian Joseph, Elizabeth Peter, Elizabeth Boniphace, Jesca Haule, Zulfa Bundala, Mariam Ntakisivya na Esther Albert.
Temeke imewahi kutwaa taji la Miss Tanzania mara tatu, kupitia warembo Happiness Sosthenes Magesse aka Millen mwaka 2001, Sylvia Remmy Baham mwaka 2003 na Genevieve Mpangala. Lakini pia imetoa warembo waliowahi kushika nafasi ya pili na tano bora katika Miss Tanzania kama Jokate Mwegelo, Irene Uwoya, Irene Kiwia, Queen David, Cecylia Assey, Sabrina Slim, Miriam Odemba, Ediltruda Kalikawe na Asela Magaka.
Mbali ya Redd's, Miss Temeke 2012 pia imedhaminiwa na Dodoma Wine, gazeti la Jambo Leo, Push Mobile, City Sports Lounge, 100.5 Times FM, Kitwe General Traders na 88.4 Times FM. Warembo wanaendelea na mazoezi na leo, Agosti 5 wanatarajia kutembelewa na Miss Tanzania 2010, Genevieve Mpangala ambaye pia ni Miss Temeke wa mwaka huo.
Benny Kisaka
Mkurugenzi BMP Promotions
Organizer Miss Temeke 2012
Warembo hao ambao wameanza programu ya shoo kwa wiki hii, chini ya ukufunzi wa Dickson Daud kutoka kikundi cha THT, wanatoka katika vitongoji vya Kigamboni, Kurasini na Chang'ombe ambapo kila sehemu wametoka warembo watano ambapo washindi watatu wa kwanza watapata fursa ya moja kwa moja kushiriki Redds Miss Tanzania 2012.
Warembo hao ni Agness Goodluck, Angela Gasper, Flaviana Maeda,Edna Sylvester, Catherine Masumbigana, Khadija Kombo, Neema Doreen, Flora Kazungu, Lilian Joseph, Elizabeth Peter, Elizabeth Boniphace, Jesca Haule, Zulfa Bundala, Mariam Ntakisivya na Esther Albert.
Temeke imewahi kutwaa taji la Miss Tanzania mara tatu, kupitia warembo Happiness Sosthenes Magesse aka Millen mwaka 2001, Sylvia Remmy Baham mwaka 2003 na Genevieve Mpangala. Lakini pia imetoa warembo waliowahi kushika nafasi ya pili na tano bora katika Miss Tanzania kama Jokate Mwegelo, Irene Uwoya, Irene Kiwia, Queen David, Cecylia Assey, Sabrina Slim, Miriam Odemba, Ediltruda Kalikawe na Asela Magaka.
Mbali ya Redd's, Miss Temeke 2012 pia imedhaminiwa na Dodoma Wine, gazeti la Jambo Leo, Push Mobile, City Sports Lounge, 100.5 Times FM, Kitwe General Traders na 88.4 Times FM. Warembo wanaendelea na mazoezi na leo, Agosti 5 wanatarajia kutembelewa na Miss Tanzania 2010, Genevieve Mpangala ambaye pia ni Miss Temeke wa mwaka huo.
Benny Kisaka
Mkurugenzi BMP Promotions
Organizer Miss Temeke 2012
MKURUGENZI WA MAMBO YA NNJE OFISI YA ZANZIBAR AJITAMBULISHA KWA DK.SHEIN.
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na
Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Ofisi ya Zanzibar
Balozi Silima K.Haji, aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk. Ali
Mohamed Shein, akifuatana na Mkurugenzui wa Mambo ya Nje na Ushirikiano
wa Kimataifa, Ofisi ya Zanzibar Balozi Silima
K. Haji, aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo.
K. Haji, aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo.
KILIMANJARO YAZIPATIA TIMU ZA YANGA NA SIMBA VIFAA VYA MICHEZO KWA AJILI YA LIGI KUU
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akizungumza
na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla fupi ya
kukabidhi vifaa vya micheko kwa timu za Yanga na Simba za jijini Dar es
Salaam iliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Soka
nchini (TFF) Ilala.Kushoto ni Afisa habari wa timu ya Yanga,Luis Sendeu
na kulia ni Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Saad Kawemba.
Meneja
wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akikabidhi sehemu
ya vifaa hivyo vya michezo kwa Afisa habari wa Timu ya Yanga,Luis
Sendeu.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akikabidhi sehemu ya vifaa hivyo vya michezo kwa Makamu Mwenyekiti wa timu ya Simba,Geofrey Nyange Kaburu.Katikati ni Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Saad Kawemba
Picha ya Pamoja:Toka kulia ni Makamu Mwenyekiti wa timu ya Simba,Geofrey Nyange Kaburu,Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Saad Kawemba,Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe na Afisa habari wa Timu ya Yanga,Luis Sendeu.
Zikiwa zimebaki siku tisa kabla ya kuanza kwa msimu wa ligi kuu Tanzania Bara 2012/2013, Kilimanjaro Premium Lager imezikabidhi timu za Yanga na Simba vifaa kwa ajili ya michuano hiyo.
Vifaa hivyo vimetolewa ikiwa ni sehemu ya udhamini wa jumla wa dola za Kimarekani milioni 3 (takribani TSh4bilioni) za kinywaji cha Kilimanjaro Premium Lager kwa timu hizo kongwe na zenye ushindani mkubwa na historia yakipee hapa nchini.Vifaa vilivyokabidhiwa ni pamoja na jezi, kaptula, soksi, vyatu vya mpira, bibs, mipira na mifuko.
KITALE ATOKA NA SIMU YA KICHINA
MSANII maarufu wa kazi za sanaa nchini Kitale ameungana na Kampuni ya
Bau Entatainment ya jijini Dar es salaam kwa ajili ya kutoa filamu
ijulikanayo kama 'Simu ya Kichina' akizungumza na mwandishi wa habari
hizi amesema yupo mbioni kutoa filamu hiyo akishilikiana na baadhi ya
wasanii wengine maarufu
Kitale Amesema kuwa filamu hiyo itakuwa gumzo jijini kwa kuwa imerekodiwa kwa ubora wa hali ya juu na kuwashirikisha wasanii waliokomaa kisanii nchini
aliwataja baadhi ya wasanii alioshilikiana nao ni pamoja na Ringo,Kitale mwenyewe,Kingwendu,Mtanga na wengine wengi walioshiriki katika filamu hiyo
aliongeza kwa kusema baadhi ya mafundisho yaliyopo katika filamu hiyo ni Ugumu wa maisha waweza kukupa changamoto ya maisha,ambayo yanaweza kukuletea maendeleo,vilevile ugumu wa maisha waweza sababisha tamaa ambayo yaweza kukupelekea kuwa mwizi katika maisha yako na kukusababishia maisha yako kuwa magumu
filamu hiyo kwa sasa ipo mtaani kwa ajili ya kuwapa wapenzi mbalimbali burudani wakiwa majumbani kwao 'Simu ya Kichina' ni moja ya filamu zenye mafundisho kwa jamii ya kitanzxania hivyo si yakukosa
Kitale Amesema kuwa filamu hiyo itakuwa gumzo jijini kwa kuwa imerekodiwa kwa ubora wa hali ya juu na kuwashirikisha wasanii waliokomaa kisanii nchini
aliwataja baadhi ya wasanii alioshilikiana nao ni pamoja na Ringo,Kitale mwenyewe,Kingwendu,Mtanga na wengine wengi walioshiriki katika filamu hiyo
aliongeza kwa kusema baadhi ya mafundisho yaliyopo katika filamu hiyo ni Ugumu wa maisha waweza kukupa changamoto ya maisha,ambayo yanaweza kukuletea maendeleo,vilevile ugumu wa maisha waweza sababisha tamaa ambayo yaweza kukupelekea kuwa mwizi katika maisha yako na kukusababishia maisha yako kuwa magumu
filamu hiyo kwa sasa ipo mtaani kwa ajili ya kuwapa wapenzi mbalimbali burudani wakiwa majumbani kwao 'Simu ya Kichina' ni moja ya filamu zenye mafundisho kwa jamii ya kitanzxania hivyo si yakukosa
JAYDEE, DIMPOZ, BANANA, CHEGGE KUIPAMBA REDDS MISS ILALA
Mwandaaji wa shindano hilo atipokua akizungumza na waandishi wa habari.
Warembo
wanaoshiriki kwenye shindano la Redds Miss Ilala wakiwa kwenye picha
ya pamoja tayari kabisa kuingia kwenye fainali itakayofanyika jumamosi
hii kwenye ukumbi wa Nyumbani Kinondoni namanga jijini Dar es salaam.
WASANII
nguli wa miondoko ya bongofleva sanjari na Machozi Band, kesho
watalipamba shindano la kumsaka mrithi wa Salha Israel katika shindano
la Miss Ilala litakalofanyika kwenye ukumbi wa nje wa Nyumbani Lounge
uliopo maeneo ya Namanga, Dar es Salaam.
Wasanii
hao ambao watatumia bendi katika kuonesha umahiri wao, wamejumuika
kwenye shindano hilo ili kukidhi kile mashabiki wa Miss Ilala
wanachotarajia. Mbali ya wasanii hao, msanii wa luninga, Steve Nyerere
ndiye atakayeliongoza kama MC ambapo Alhamis(kesho) watakuwa na mkutano
na waandishi wa habari kwenye club ya City Sports Lounge kwa ajili ya
kutangaza zawadi.
Vimwana
14 wanaotarajiwa kupanda jukwaani kuwania umalkia wa Kanda ya Manispaa
ya Ilala, Redds Miss Ilala 2012, kati yao 12 wiki iliyopita walishindana
kwenye kategoria ya kipaji ambapo watano kati yao walitinga hatua ya
fainali, ambayo itamaliziwa siku ya shindano lenyewe Ijumaa.
Katika
kinyanganyiro hicho mrembo Mary Chizi alikuwa kivutio zaidi kwa jinsi
alivyoonesha umahiri wake wa wepesi wa kujvingirisha mwili huku Mectilda
Martin akizoa ukumbi mzima kwa kurap na huku akiwa ameandana kwa
kucheza hata mavazi yanayotumiwa na wasanii wa miondoko hiyo.
Magdalena
Munisi hakuwa nyuma kabisa katika kumwigiza mwanamuziki nguli wa
marekani, Ciara kwa umahiri wake wa kulitumia jukwaa, lakini kubwa
kuliko pia kwa mrembo Amina Sangawe alibuni nguo kwa kutumia vipande
viwili vya khanga ambapo aliliunganisha jukwaani kupitia pini nakumvika
mmrembo mwenzie. Stella Moris kwa upande wake alionesha ukali kwa
kuimba.
Warembo
hao, wamekuwa wakijifua kwa takriban wiki nne sasa chini ya wakufunzi,
Slyvia Mashuda ambaye ni Miss Tanzania namba mbili mwaka 2008 na Miss
Ilala wa mwaka huo, na Neema Mbuya na Dickson Daudi wa THT katika shoo.
Miss
Ilala, yenye rekodi ya kutoa warembo wanne waliotwaa taji la Miss
Tanzania kuanzia mwaka 1999, (Hoyce Temu), 2000 (Jacquline Ntuyabaliwe
aka K-Lyne), 2002 (Angela Damas Mutalimwa) na Salha Israel anayeshikilia
taji hilo kwa sasa, imepania kuendeleza rekodi yake nzuri mwaka huu.
Miss
Ilala inahusisha warembo kutoka vitongoji vya Dar City Center, Tabata
na Ukonga na inadhaminiwa na City Sports Lounge, Redd's Premmium Cold,
Uhuru One, Dodoma Wine, Nyumbani Lounge, gazeti la Jambo Leo, 100.5
Times FM, Redio ya watu 88.4 Cloud's FM.
Mbali
ya walioingia tano bora katika vipaji, warembo wengine wanaoshiriki
shindano hilo ni pamoja na Mary Chizi, Matilda Martin, Magdalena Munisi,
Suzan Deodatus, Whitness Michael, Stella Moris na Elizaberth Pertty.
Wengine ni Wilmina Mvungi, Zawadi Mwambe, Rehema Said, Diana Simon,
Amina Sangwe, Noela Michael na Phillios Lemi.
Mbali
ya Redd's Premmiun Cold, wadhamini wengine katika mashindano hayo ni
pamoja na Uhuru One, Dodoma Wine, City Sports Lounge, gazeti la Jambo
Leo, Nyumbani Lounge, 100.5 Times FM, Redio ya watu 88.4 Cloud's FM na
Amaya Salon.
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA WAKUU WA MAJESHI YA POLISI KUTOKA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA (SADC)WA KUJADILI UHALIFU WA KIMATAIFA.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Inspekta Generali, Said Mwema,
wakati alipofika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini
Zanzibar leo Sept 05,2012 kwa ajili ya kufungua mkutano wa Wakuu wa
Majeshi ya Polisi kutoka Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wa kujadili
uhalifu wa Kimataifa kuhusu madawa ya kulevya na kuimarisha uhusiano kwa
nchi za Afrika kiulinzi.
Baadhi
ya washiriki wa mkutano huo kutoka nchi mbalimbali za Afrika, wakiwa
katika mkutano huo uliofanyika leo Sept 05, 2012 katika ukumbi wa Hoteli
ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
(katikati) akijumuika kuimba wimbo wa Taifa na wakuu wa Jeshi la Polisi
Inspekta Generali, Said Mwema (wa pili kushoto) wakati alipofika kwenye
Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar leo Sept 05,
2012 kwa ajili ya kufungua mkutano wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi
kutoka Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wa kujadili uhalifu wa Kimataifa
kuhusu madawa ya kulevya na kuimarisha uhusiano kwa nchi za Afrika
kiulinzi.
Mkuu
wa Jeshi la Polisi Inspekta Generali, Said Mwema, akisoma hoyuba yake
ya ukaribisho wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Wakuu wa Majeshi ya
Polisi kutoka Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wa kujadili uhalifu wa
Kimataifa kuhusu madawa ya kulevya na kuimarisha uhusiano kwa nchi za
Afrika kiulinzi.
-Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal,akisoma hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano wa Wakuu wa Majeshi ya
Polisi kutoka Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wa kujadili uhalifu wa
Kimataifa kuhusu madawa ya kulevya na kuimarisha uhusiano kwa nchi za
Afrika kiulinzi.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal,akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Plisi, Inspekta
Genarali, Saidi Mwema, baada ya kufungua mkutano wa Wakuu wa Majeshi ya
Polisi kutoka Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wa kujadili uhalifu wa
Kimataifa kuhusu madawa ya kulevya na kuimarisha uhusiano kwa nchi
za Afrika kiulinzi. Kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Polisi wa Afrika ya
Kusini,
HAWA NDO WAREMBO WATAKAO WANAIA TAJI LA REDD'S MISS NORTHERN ZONE 2012...!!!
Washiriki
wa Redds Miss Arusha wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasili katika kambi yao ya mazoezi kujiandaa na shindano lao litakalo
fanyika Septemba 8, 2012 katika Hoteli ya naura Spring jijini Arusha.
Jumla ya waremo 11 wanataraji kucuana vikali kuwania taji hilo.
(picha
na Father Kidevu Blog).
TUNDA MAN ASEMA HATAKI DOGO JANJA ATUMIE CHORUS YAKE WALA KUMTAJA KWENYE NYIMBO ZAKE.
Pia kuhusu Dogo Janja kutoa Chorus za Tunda Man kwenye Nyimbo zake ,Tunda amesema jambo kama hilo linawezekana na tumeone wasanii wengi wakifanya hivyo.Beat za nyimbo zipo na sauti zake so ni kitu cha kufanya tu sio issue kubwa sababu huwezi ukasema nipo na TIPTOP Alafu unawatambulisha Watanashati.
USAILI WA MAISHA PLUS 2012 WAENDELEA
Heka heka za Maisha Plus.
---
Usaili
wa Maisha Plus umeendelea leo (Septemba 4) mkoani Mwanza; baada ya hapa
timu nzima itaelekea Morogoro katika wilaya ya Mvomero na siku
inayofuata itaibukia Igula, Mkoani Iringa.
"Tukitoka Iringa tunahamia Sumbawanga huko Kantalamba then tutarudi Mbeya, baadaye tutaelekea Kilwa kisha Masasi na Zanzibar itafuatia.
"Tukitoka Iringa tunahamia Sumbawanga huko Kantalamba then tutarudi Mbeya, baadaye tutaelekea Kilwa kisha Masasi na Zanzibar itafuatia.
Kaka Bonda akimhoji mshiriki.
---
Dar es Salaam itakuwa ya mwisho ambayo usaili wake utafanyika Septemba 22 na 23," anasema Masoud Kipanya.
Fomu za kushiriki shindano hili kwa Dar es Salaam zinapatikana katika Duka la KP lililopo Millenium Towers Kijitonyama. Kama unahitaji fomu piga namba 0717104303 uelekezwe.
Fomu za kushiriki shindano hili kwa Dar es Salaam zinapatikana katika Duka la KP lililopo Millenium Towers Kijitonyama. Kama unahitaji fomu piga namba 0717104303 uelekezwe.
Mama Shujaa wa Chakula akionyesha ushujaa wa chakula.
Tuesday, September 4, 2012
TIGO YATANGAZA UDHAMINI MKUU WA MAONESHO YA SARAKASI YA MAMA AFRICA
| Mkurugenzi Mtendaji wa Mancom Costantine Magavilla kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Tigo, Alice Maro katikati na Meneja wa Promosheni na Matukio wa Kampuni ya Tigo.Bw. Eduwrd Shilla wakati wa Uzindudhi wa Udhamini wa Maonesho ya Sarakasi ya Mama Africa yatakayoanza Septemba27 mpaka 4 Novemba Picha na www.burudan.blogspot.com |
| Mkurugenzi Mtendaji wa Mancom Costantine Magavilla kushoto Akisisitiza kitu wakati wa utambulisho wa Udhamini wa Maonesho ya Mama Africa yatakayodhaminiwa na Kampuni ya Tigo picha na www.burudan.blogspot.com |
| Meneja wa Promosheni na Matukio wa Kampuni ya Tigo.Bw. Eduwrd Shilla katikati akishangaa moja ya watu watakaonesha maonesho ya Mama Africa akiwa nyuma yake |




















No comments:
Post a Comment