header

nmb

nmb

Thursday, May 17, 2012

TAMASHA LA TIGO LAPAGAWISHA WATU KARATU

Msanii  wa Muziki wa kizazi kipya,Hamis Baba maarufu kama H Baba akiwapagawisha mashabiki wake kwenye Kituo cha mabasi wilayani Karatu mkoa wa Arusha katika Bonanza lililoandaliwa na Tigo na kutoa zawadi kwa wananchi mbalimbali waliohudhuria.Picha na mpigapicha wetu



 Msanii wa Muziki wa kizazi kipya,Hamis Baba maarufu kama H Baba(kulia) akiimba na kucheza na watoto waliojitokeza  kwenye Kituo cha mabasi wilayani Karatu mkoa wa Arusha katika Bonanza lililoandaliwa na Tigo na kutoa zawadi kwa wananchi mbalimbali waliohudhuria.Picha na mpigapicha
 Msanii wa Muziki wa kizazi kipya,Hamis Baba maarufu kama H Baba(kulia) akiimba na kucheza na watoto waliojitokeza  kwenye Kituo cha mabasi wilayani Karatu mkoa wa Arusha katika Bonanza lililoandaliwa na Tigo na kutoa zawadi kwa wananchi mbalimbali waliohudhuria.Picha na mpigapicha

No comments:

Post a Comment