SUPER D BOXING COACH AKABIZIWA CHETI CHA KUTAMBUA UWEZO WAKE WA KUSAPOTI MASUMBI KUSONGA MBELE
Rajabu Mhamila 'SUPER D BOXING COACH' akipokea cheti kutoka kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, David Misime cha kutambua mchanmgo wake wakati wa Mpambano wa Francis Cheka na Mada Maugo SUPER D ambaye ni Kocha wa Masumbwi na Mtaalishaji wa DVD za masumbwi zinazofundisha sheria na mbinu za mchezo huo akichanganya na mabondia wa kimataifa
No comments:
Post a Comment