header

nmb

nmb

Monday, May 14, 2012


SIKU YA WAUGUZI DUNIANI YAFANA WILAYANI RUNGWE

Wauguzi wa wilaya ya Rungwe wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya wauguzi duniani

Mgeni rasmi mkurugenzi wa wilaya ya Rungwe Noel Mahyenga aliyeshika taa akiongoza maandamano hayo

Mkurugenzi wa wilaya Rungwe akiwa na muuguzi mkuu wa wilaya Sophia Mkonongo wakiwa wameshililia mishumaa kama ishara ya upendo

No comments:

Post a Comment