Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Bi. Terezya Huvisa (wa pili kulia),Waziri wa Elimu ya Msingi na Mazingira wa Zambia Prof. Nkandu Luo(wa kwanza kulia) na Balozi wa Congo Nchini Tanzania Bw.khalfan Juma Mpango wakiangalia ngoma ya Warumba - mayanga, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mkoani kigoma. Ugeni huo upo Nchi kuhudhuria Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mamlaka ya Ziwa Tanganyika. (Picha na Ali Meja)
header
nmb

Wednesday, February 29, 2012
mapokezi ya waziri wa zambia na balozi wa congo mkoa wa kigoma
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Bi. Terezya Huvisa (wa pili kulia),Waziri wa Elimu ya Msingi na Mazingira wa Zambia Prof. Nkandu Luo(wa kwanza kulia) na Balozi wa Congo Nchini Tanzania Bw.khalfan Juma Mpango wakiangalia ngoma ya Warumba - mayanga, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mkoani kigoma. Ugeni huo upo Nchi kuhudhuria Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mamlaka ya Ziwa Tanganyika. (Picha na Ali Meja)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment