PR Promotion

Wednesday, January 25, 2012

MSKAJI APAGAWA AFUNGA NDOA NA MAITI!!






Dave akiibusu maiti ya aliyekuwa mchumba wake.
MKURUGENZI wa kituo kiumoja cha televisheni nchini Thiland aitwaye Chadil Deffy au Deff Yingyuen, akitaka kuonyesha upendo wake kwa mchumba wake wa siku nyingi aliyekuwa akiitwa Sarinya au “Anne” Kamsook, aliyefariki hivikaribuni kwa ajali ya gari, aliamua kufunga ndoa na marehemu huyo.


Baada ya kufanya hivyo, alizituma picha za tukio hilo kwenye mtandao wa Facebook na YouTube, kitendo ambacho kiliwashangaza watu wengi duniani.

Ndoa hiyo ya ajabu ilifanyika wakati mmoja na mazishi ya marehemu bi.harusi huko Amphur Muang, jimbo la Surin, nchini Thailand ambapo pia palifanyika mazishi ya mchumba huyo aliyekuwa na umri wa miaka 29 sehemu hiyo hiyo.

Deffy ambaye jina lake la utani ni “Dave” alikutana na Sarinya wakati wanasoma Chuo Kikuu cha Asia Mashariki miaka kumi iliyopita na wakapanga kuoana, lakini mwanamke huyo akafariki Januari 3 mwaka huu.

Wakati wa mazishi hayo, bwana harusi alionekana akiwa amevalia suti nyeusi na akimvisha mchumba wake huyo pete.

Tukio hilo lilihudhuliwa na ndugu,marafiki na jamaa wengi wakiwemo wacheza sinema, waimbaji na wanafunzi wenzao wa chuo kikuu hicho ambao walisoma nao
Posted by PR Promotion at 2:09 PM
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook

0 comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

KUHUSU MIMI

My Photo
PR Promotion
Pr promotion ni taasisi/kampuni ya wajasiliamali inayoongozwa na(Photojournalist)Spear Patrik na waandishi wa habari waandamizi hapa nchini.
View my complete profile

PR VIDEO PRODUCTION

PR PROMOTION ni wataalamu wa kupiga picha kwenye harusi na sherehe mbalimbali kama vile kitchen party, send off, birthday, kaswida, graduation na sherehe zote unazozijua hapa mjini. tunatoa huduma na video production kwa kutumia projector, pia ni wataalamu wa still picture na huduma zote hizi zinaambata na offer mbalimbali. kwa ubora wa hali ya juu, gharama nafuu. kwa huduma wasiliana na 0713/0787--881852. email: prhabari@gmail.com skipopele@yahoo.com

TANGAZO

MAZNAT VOCATION TRAINING CENTRE

KWA MAFUNZO YA MA-SALOON;

KUTENGENEZA NYWELE, KUCHA, NGOZI NA KUPAMBA MAHARUSI PAMOJA NA KUJIFUNZA LUGHA YA KIINGEREZA BURE!!

Wasiliana na namba 0716 306798
--------------------------------------------

Konyagi inakimbiza mwanzo mwisho

Konyagi inakimbiza mwanzo mwisho

Mpango mzima wa kusimesha mtoto wa mkulima wa zabibu. Hombolo Dodoma

Mpango mzima wa kusimesha mtoto wa mkulima wa zabibu. Hombolo Dodoma

Kwa wanaopenda vitu laini

Kwa wanaopenda vitu laini

Savanna dry and light

Savanna dry and light

hii ni kwa watu makini...Pushkin

hii ni kwa watu makini...Pushkin

inanoga!!

inanoga!!

bongo hamjaiona hii ni kwa matumizi ya unyamwezini tu

bongo hamjaiona hii ni kwa matumizi ya unyamwezini tu

Kiroba Baaaab Kubwaa hakina mfano

Kiroba  Baaaab Kubwaa hakina mfano

Miss Konyagi

Miss Konyagi

Banana flavour kinywaji kipyaaa cha TDL

Banana flavour kinywaji kipyaaa cha TDL

Dodoma Wine aina zote zipo TDL

Dodoma Wine aina zote zipo TDL

wine yaTDL

wine yaTDL

BLOG ZINGINE

  • Kiki's Fashion
    Get the look at Kiki's Fashion - Designed by Kiki
    15 minutes ago
  • Burudan Mwanzo - Mwisho
    FILAMU ZA STEPS AMBAZO ZIPO NJIANI KUTOKA - Nice Mohamed Mtunis yupo njiani kutoka na filamu ya YATIMA TOKA KAMPUNI YA STEPS STEVIN KANUMBA YUPO NJIANI KUTOKA NA NDOA YANGU OMARI MKALI NA STARA ...
    1 hour ago
  • KAMANDA WA MATUKIO
    - MVUA YAENDELEA KUNYESHA MKOA WA MBEYA Wanafunzi wakitoka shule kurenjea makwao wakiwa wamejifunika mwamvuli mmoja Katikati ya jiji la mbeya Huko Rung...
    5 hours ago
  • MAKAVU LIVE
    J-LO awategA ma-x wake na kivazi cha utAta TuzO za OscaR - Wkend iliyopita ndiko kulifanyika tuzo za oscar huko marekani na mastaa kibao walionekana wakiingia ndani ya kitu cha red carpet na style mbalimbali,ili...
    1 day ago
  • DIDA MITIKISIKO
    WADAU UNAMJUA ANAYECHUKIA MAENDELEO YAKO CHUNGUZA HIVI. - *1:MTIZAME USONI UKIMWAMBIA KITU CHAKO CHA MAENDELEO USO WAKE UTAUONA * *2:TABASAMU LAKE LA UONGO LILILOSHEHENI CHUKI NA CHOYO. * *3;HATA USHAURI WAKE KATIKA...
    2 days ago
  • Nica Veronica
    Oscar Arrival - The “American Idol” judge dared to bare … and it paid off. Lopez’s plunging Zuhair Murad gown not only caused a ruckus on the red carpet, but during the...
    3 days ago
  • Matukio
    Bobby Brown alikuwa jukwaani - Bobby Brown alikuwa jukwaani anaperfom(pichani Juu) na kundi zima la New Edition huko Mississippi masaa machache kabla ya kupokea taarifa za kifo cha ali...
    2 weeks ago

DVD ZA SUPER D BOXING COACH KUINGIA SOKONI

DVD ZA SUPER D BOXING COACH KUINGIA SOKONI
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838

TANGAZO LA DAWA YA NGUVU

TANGAZO LA DAWA YA NGUVU
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI KWA MAELEZO ZAIDI TEMBELEA http://enzoy.org/index.php?lang=EN PIGA NO O713827689, 0755074505 , au 0719 541366

WANAOTEMBELEA

free web counter

PR promotion

PR promotion

Popular Posts

  • UVUMI HUU SI KWELI "RAY C"ALOGA WABONGO ACHENI HIZOOOO
    Mwanamuziki Rehema Chalamila ”Ray C” amejikuta akiingia katika kashfa kubwa ya kutapeli Dola za Kimarekani 4000,- ambazo ni zaidi ya shilin...
  • Madanguro yachachamaa jijini Dar,vyangudoa vyauza ngono wazi wazi
    Danguro jingine ambalo Dar Leo imeligundua ni lile lililoko Posta karibu na baa moja maarufu (jina tunalo) ambapo kuna jengo moja ambalo ba...
  • HSPH Tanzania Program establishes two Local Not-for-Profit Organizations in Dar es Salaam
    · On January 25, 2010, Harvard School of Public Health and the Boards of Directors of two new, Tanzania-chartered not-for-profit organizati...
  • MITINDO YA MAGAUNI HEBU CHEKI HII INAVUTIA!!
    ZAIDI TEMBELEA NURU the light BLOG
  • Wazazi wa MBOZI chanzo cha mimba kwa wanafunzi Mbeya!
    (source; Esther Macha wa Mbozi) ONGEZEKO la mimba kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Mbozi Mkoani Mbeya...
  • MTULIPE FIDIA YETU.RAIS WA LIBYA ,GADDAFI ALONGA!!
    KIONGOZI wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, amesema Muungano wa Ulaya (EU)unapaswa kuilipa Libya takriban dola bilioni 6.3 kila mwaka ili ku...
  • SERENA WILLIAMS ASHEREHEKEA BATHIDEI YAKE UFUKWENI NA MBWAWAKE!!
    Mwenyekiti na wadau wote wa Prhabari.blogspot. blog ya wabongo tunakutakia sikukuu njema ya kumbukumbu ya zaliwa kwako na mungu akuzi...
  • WALIOCHEZA MCHEZO MCHAFU KUIBA KATONI ZA KONYAGI WATINGA KIZIMBANI!!
    ONYO WATAKAO IGA KUKIONA ZAIDI!! MSHITAKIWA Jonas Daudi (28) na Adamu Mwenda (22) wakazi wa Sinza wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu ...
  • JOTI WA ORIJINO KOMEDI APATA AJARI KAZINI
    JOTI AKIWA KAZINI Uvumi wa mwanamke kuota manyoa *Msanii wa Komedi Joti naye aonja joto ya jiwe *Alazwa Muhimbili MSANII maarufu wa K...
  • BURIANI KIBO MAREALLE CC TULIKUPENDA ILA MUNGU ZAID
    Kibo Marealle ametutoka nakwamba habari zilizoifikia Prhabari zinasema kwa sasa maombolezo yanaendelea kufanyika nyumbani kwake na mazishi...

Popular Posts

  • UVUMI HUU SI KWELI "RAY C"ALOGA WABONGO ACHENI HIZOOOO
    Mwanamuziki Rehema Chalamila ”Ray C” amejikuta akiingia katika kashfa kubwa ya kutapeli Dola za Kimarekani 4000,- ambazo ni zaidi ya shilin...
  • Madanguro yachachamaa jijini Dar,vyangudoa vyauza ngono wazi wazi
    Danguro jingine ambalo Dar Leo imeligundua ni lile lililoko Posta karibu na baa moja maarufu (jina tunalo) ambapo kuna jengo moja ambalo ba...
  • HSPH Tanzania Program establishes two Local Not-for-Profit Organizations in Dar es Salaam
    · On January 25, 2010, Harvard School of Public Health and the Boards of Directors of two new, Tanzania-chartered not-for-profit organizati...
  • MITINDO YA MAGAUNI HEBU CHEKI HII INAVUTIA!!
    ZAIDI TEMBELEA NURU the light BLOG
  • Wazazi wa MBOZI chanzo cha mimba kwa wanafunzi Mbeya!
    (source; Esther Macha wa Mbozi) ONGEZEKO la mimba kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Mbozi Mkoani Mbeya...
  • MTULIPE FIDIA YETU.RAIS WA LIBYA ,GADDAFI ALONGA!!
    KIONGOZI wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, amesema Muungano wa Ulaya (EU)unapaswa kuilipa Libya takriban dola bilioni 6.3 kila mwaka ili ku...
  • SERENA WILLIAMS ASHEREHEKEA BATHIDEI YAKE UFUKWENI NA MBWAWAKE!!
    Mwenyekiti na wadau wote wa Prhabari.blogspot. blog ya wabongo tunakutakia sikukuu njema ya kumbukumbu ya zaliwa kwako na mungu akuzi...
  • WALIOCHEZA MCHEZO MCHAFU KUIBA KATONI ZA KONYAGI WATINGA KIZIMBANI!!
    ONYO WATAKAO IGA KUKIONA ZAIDI!! MSHITAKIWA Jonas Daudi (28) na Adamu Mwenda (22) wakazi wa Sinza wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu ...
  • JOTI WA ORIJINO KOMEDI APATA AJARI KAZINI
    JOTI AKIWA KAZINI Uvumi wa mwanamke kuota manyoa *Msanii wa Komedi Joti naye aonja joto ya jiwe *Alazwa Muhimbili MSANII maarufu wa K...
  • BURIANI KIBO MAREALLE CC TULIKUPENDA ILA MUNGU ZAID
    Kibo Marealle ametutoka nakwamba habari zilizoifikia Prhabari zinasema kwa sasa maombolezo yanaendelea kufanyika nyumbani kwake na mazishi...
Simple template. Powered by Blogger.