Mshabuliaji wa timu ya Simba Emmanuel Okwi akimtoka beki wa tim u ya Africa Lyon wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Vodacom uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na kushuhudia timu ya Simba iliibuka na ushindi mnono wa magoli 4-0 dhidi ya Africa Lyon.
No comments:
Post a Comment