Ujumbe wa wabunge toka Tanzania ukiongozwa na Spika wa Bunge wa Tanzania Mhe. Samuel Sitta, ukiwa katika mkutano wa pamoja na wenzao wa Bunge la Uturuki pamoja na Spika wa Bunge la Uturuki Mhe. Mhe. Mehmet Ali Sahin kujadili namna ya kuimarisha mahusiano ya mihimili hii Miwili pamoja na kuhamasisha uwekezaji katika sekta mbalimbali za Maendeleo. Spika na Ujumbe wa Wabunge saba upo ziarani Uturuki kwa Mwaliko wa Spika wa chi hiyo.
header
nmb
Wednesday, May 12, 2010
Spika ndani ya Uturuki..!
Ujumbe wa wabunge toka Tanzania ukiongozwa na Spika wa Bunge wa Tanzania Mhe. Samuel Sitta, ukiwa katika mkutano wa pamoja na wenzao wa Bunge la Uturuki pamoja na Spika wa Bunge la Uturuki Mhe. Mhe. Mehmet Ali Sahin kujadili namna ya kuimarisha mahusiano ya mihimili hii Miwili pamoja na kuhamasisha uwekezaji katika sekta mbalimbali za Maendeleo. Spika na Ujumbe wa Wabunge saba upo ziarani Uturuki kwa Mwaliko wa Spika wa chi hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment