MUKOBA
KWA miezi kadhaa sasa, kumekuwepo na mjadala mkali nchini unaohusu maandalizi ya mgomo usiokuwa na kikomo kwa wafanyakazi wa nchi nzima, ambao kwa mujibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakzi Nchini (TUCTA), utaanza mapema mwezi ujao.Kama ilivyotegemewa, taarifa za mgomo huo, ambao wafanyakazi wanataka kuutumia kama silaha yao ya mwisho kudai haki na madai yao ya msingi, zimezua taharuki karibu nchi nzima, kuanzia serikalini mpaka kwa wananchi, maana suala la mgomo wa nchi nzima
No comments:
Post a Comment