header

nmb

nmb

Thursday, March 25, 2010

Rubani feki hadi mamtoni wakwea mapipa mnasikia hii!!


Wakati hapa Tanzania kumekuwa na gumzo la kuhusu kuwepo wa wataalamu na wanaowanatumia vyeti feki, halia kama hiyo pia iko katika bara la Ulaya.


Rubani wa Uswisi aliyekuwa na leseni feki amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Amsterdam, wakati akijiandaa kurusha ndege yenye abiria 101 aina ya Boeing 737 kuelekea Uturuki, polisi wa Uholanzi walisema.


Mtu huyo mwenye umri wa miaka41 ambaye ni mswideni, alikwua akifanya kazi Ankara, amekuwa akirusha ndege kwa miaka 13 akiwa amekaa ngani kwa zaidi ya saa 10,000 alikwua akitumi vyeti feki kwa ajili ya kurusha ndege Ubelgiji, Uingereza na Italia, Polisi ilisema.
Rubani huyo ambaye jina lake halikutajwa, alishindwa kujieleza vizuri wakati alipokamatwa na kuvuliwa magwanda ya urubani.

No comments:

Post a Comment